Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+ Isaya 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na watu hawakurudi kwa Yeye anayewapiga,+ nao hawakumtafuta Yehova wa majeshi.+ Yeremia 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+
5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+
30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+