2 Mambo ya Nyakati 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, wakati alipokuwa akimtaabisha, yeye, yaani, Mfalme Ahazi, alizidi kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova.+ Isaya 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na watu hawakurudi kwa Yeye anayewapiga,+ nao hawakumtafuta Yehova wa majeshi.+
22 Hata hivyo, wakati alipokuwa akimtaabisha, yeye, yaani, Mfalme Ahazi, alizidi kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova.+