Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 28:1

Marejeo

  • +2Fa 16:2; 1Nya 3:13; Isa 7:1; Ho. 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
  • +2Fa 16:2
  • +1Fa 3:14

2 Mambo ya Nyakati 28:2

Marejeo

  • +1Fa 12:28; 16:33
  • +Kut 34:17; Law 19:4
  • +Amu 2:11

2 Mambo ya Nyakati 28:3

Marejeo

  • +Ho. 2:13
  • +2Fa 23:10; Yer 7:31
  • +2Nya 33:6
  • +Kum 12:31; 2Fa 21:2; 2Nya 33:2
  • +2Fa 16:3

2 Mambo ya Nyakati 28:4

Marejeo

  • +2Fa 16:4
  • +Law 26:30
  • +1Fa 14:23
  • +Isa 57:5

2 Mambo ya Nyakati 28:5

Marejeo

  • +Amu 2:14; 2Nya 33:11; 36:17; Zb 76:12
  • +2Fa 16:6; 2Nya 24:24
  • +Mwa 14:15; 2Sa 8:6; 1Nya 18:5
  • +2Fa 16:5

2 Mambo ya Nyakati 28:6

Marejeo

  • +2Fa 15:37; Isa 7:1
  • +Isa 7:9
  • +Kum 6:14; 31:16; 2Nya 15:2; Zb 73:27; Isa 1:28; Yer 2:19

2 Mambo ya Nyakati 28:7

Marejeo

  • +Isa 9:21

2 Mambo ya Nyakati 28:8

Marejeo

  • +1Fa 16:24; 22:51

2 Mambo ya Nyakati 28:9

Marejeo

  • +Amu 3:8; Zb 69:26; Isa 10:5; Zek 1:15
  • +Eze 25:12
  • +Mwa 4:10; Ezr 9:6; Ufu 18:5

2 Mambo ya Nyakati 28:10

Marejeo

  • +Law 25:39, 46; 2Nya 8:9

2 Mambo ya Nyakati 28:11

Marejeo

  • +Isa 58:6; Yer 34:15
  • +Mt 7:2; Yak 2:13

2 Mambo ya Nyakati 28:12

Marejeo

  • +1Nya 28:1
  • +Isa 9:21

2 Mambo ya Nyakati 28:13

Marejeo

  • +Hes 32:14
  • +Kut 22:24; Yos 22:18; Ro 2:5

2 Mambo ya Nyakati 28:14

Marejeo

  • +1Nya 12:23
  • +2Nya 28:8
  • +1Nya 28:1; Mhu 12:11

2 Mambo ya Nyakati 28:15

Marejeo

  • +2Nya 28:12
  • +Ayu 31:19; Zb 106:46; Isa 58:7
  • +2Fa 6:22; Yak 2:15
  • +Lu 6:27; Ro 12:20
  • +Ro 15:1
  • +Hes 22:1; Yos 6:1
  • +Kum 34:3; Amu 1:16
  • +1Fa 16:24

2 Mambo ya Nyakati 28:16

Marejeo

  • +2Fa 16:7; Isa 7:10
  • +Isa 7:17

2 Mambo ya Nyakati 28:17

Marejeo

  • +Law 26:18; Oba 10

2 Mambo ya Nyakati 28:18

Marejeo

  • +1Sa 5:1; 31:11; 2Nya 26:6
  • +Kum 1:7; Yos 9:1; 2Nya 26:10
  • +Hes 21:1; Kum 34:3; 2Sa 24:7
  • +Yos 15:10; 1Sa 6:9
  • +2Nya 11:10
  • +Yos 15:41
  • +Yos 15:35
  • +Amu 14:1

2 Mambo ya Nyakati 28:19

Marejeo

  • +Law 26:18; Kum 28:43; 1Sa 2:7; Ayu 40:12
  • +Kut 32:25

2 Mambo ya Nyakati 28:20

Marejeo

  • +2Fa 15:29; 16:7; 1Nya 5:26
  • +2Fa 17:5; Isa 7:20

2 Mambo ya Nyakati 28:21

Marejeo

  • +2Nya 12:9
  • +2Fa 18:15
  • +1Nya 28:1
  • +2Fa 18:16

2 Mambo ya Nyakati 28:22

Marejeo

  • +Zb 52:7; Met 19:3

2 Mambo ya Nyakati 28:23

Marejeo

  • +2Nya 25:14; Yer 44:5
  • +2Fa 16:12, 13
  • +Hab 1:11
  • +Yer 10:5; 44:18
  • +Kut 23:33; Kum 7:16; Isa 1:28

2 Mambo ya Nyakati 28:24

Marejeo

  • +1Fa 7:45; 2Nya 4:18
  • +2Fa 16:17
  • +1Fa 6:34; 2Nya 29:7
  • +2Nya 33:5; Yer 2:28

2 Mambo ya Nyakati 28:25

Marejeo

  • +1Fa 14:23; 2Fa 15:35; 2Nya 21:11; 33:3
  • +2Nya 28:4
  • +1Ko 10:22

2 Mambo ya Nyakati 28:26

Marejeo

  • +2Nya 27:7
  • +2Fa 16:19

2 Mambo ya Nyakati 28:27

Marejeo

  • +2Nya 21:20; 33:20; Met 10:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 28:12Fa 16:2; 1Nya 3:13; Isa 7:1; Ho. 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
2 Nya. 28:12Fa 16:2
2 Nya. 28:11Fa 3:14
2 Nya. 28:21Fa 12:28; 16:33
2 Nya. 28:2Kut 34:17; Law 19:4
2 Nya. 28:2Amu 2:11
2 Nya. 28:3Ho. 2:13
2 Nya. 28:32Fa 23:10; Yer 7:31
2 Nya. 28:32Nya 33:6
2 Nya. 28:3Kum 12:31; 2Fa 21:2; 2Nya 33:2
2 Nya. 28:32Fa 16:3
2 Nya. 28:42Fa 16:4
2 Nya. 28:4Law 26:30
2 Nya. 28:41Fa 14:23
2 Nya. 28:4Isa 57:5
2 Nya. 28:5Amu 2:14; 2Nya 33:11; 36:17; Zb 76:12
2 Nya. 28:52Fa 16:6; 2Nya 24:24
2 Nya. 28:5Mwa 14:15; 2Sa 8:6; 1Nya 18:5
2 Nya. 28:52Fa 16:5
2 Nya. 28:62Fa 15:37; Isa 7:1
2 Nya. 28:6Isa 7:9
2 Nya. 28:6Kum 6:14; 31:16; 2Nya 15:2; Zb 73:27; Isa 1:28; Yer 2:19
2 Nya. 28:7Isa 9:21
2 Nya. 28:81Fa 16:24; 22:51
2 Nya. 28:9Amu 3:8; Zb 69:26; Isa 10:5; Zek 1:15
2 Nya. 28:9Eze 25:12
2 Nya. 28:9Mwa 4:10; Ezr 9:6; Ufu 18:5
2 Nya. 28:10Law 25:39, 46; 2Nya 8:9
2 Nya. 28:11Isa 58:6; Yer 34:15
2 Nya. 28:11Mt 7:2; Yak 2:13
2 Nya. 28:121Nya 28:1
2 Nya. 28:12Isa 9:21
2 Nya. 28:13Hes 32:14
2 Nya. 28:13Kut 22:24; Yos 22:18; Ro 2:5
2 Nya. 28:141Nya 12:23
2 Nya. 28:142Nya 28:8
2 Nya. 28:141Nya 28:1; Mhu 12:11
2 Nya. 28:152Nya 28:12
2 Nya. 28:15Ayu 31:19; Zb 106:46; Isa 58:7
2 Nya. 28:152Fa 6:22; Yak 2:15
2 Nya. 28:15Lu 6:27; Ro 12:20
2 Nya. 28:15Ro 15:1
2 Nya. 28:15Hes 22:1; Yos 6:1
2 Nya. 28:15Kum 34:3; Amu 1:16
2 Nya. 28:151Fa 16:24
2 Nya. 28:162Fa 16:7; Isa 7:10
2 Nya. 28:16Isa 7:17
2 Nya. 28:17Law 26:18; Oba 10
2 Nya. 28:181Sa 5:1; 31:11; 2Nya 26:6
2 Nya. 28:18Kum 1:7; Yos 9:1; 2Nya 26:10
2 Nya. 28:18Hes 21:1; Kum 34:3; 2Sa 24:7
2 Nya. 28:18Yos 15:10; 1Sa 6:9
2 Nya. 28:182Nya 11:10
2 Nya. 28:18Yos 15:41
2 Nya. 28:18Yos 15:35
2 Nya. 28:18Amu 14:1
2 Nya. 28:19Law 26:18; Kum 28:43; 1Sa 2:7; Ayu 40:12
2 Nya. 28:19Kut 32:25
2 Nya. 28:202Fa 15:29; 16:7; 1Nya 5:26
2 Nya. 28:202Fa 17:5; Isa 7:20
2 Nya. 28:212Nya 12:9
2 Nya. 28:212Fa 18:15
2 Nya. 28:211Nya 28:1
2 Nya. 28:212Fa 18:16
2 Nya. 28:22Zb 52:7; Met 19:3
2 Nya. 28:232Nya 25:14; Yer 44:5
2 Nya. 28:232Fa 16:12, 13
2 Nya. 28:23Hab 1:11
2 Nya. 28:23Yer 10:5; 44:18
2 Nya. 28:23Kut 23:33; Kum 7:16; Isa 1:28
2 Nya. 28:241Fa 7:45; 2Nya 4:18
2 Nya. 28:242Fa 16:17
2 Nya. 28:241Fa 6:34; 2Nya 29:7
2 Nya. 28:242Nya 33:5; Yer 2:28
2 Nya. 28:251Fa 14:23; 2Fa 15:35; 2Nya 21:11; 33:3
2 Nya. 28:252Nya 28:4
2 Nya. 28:251Ko 10:22
2 Nya. 28:262Nya 27:7
2 Nya. 28:262Fa 16:19
2 Nya. 28:272Nya 21:20; 33:20; Met 10:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 28:1-27

2 Mambo ya Nyakati

28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu,+ naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama Daudi babu yake.+ 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+ 3 Naye akafukiza moshi wa dhabihu+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akateketeza wanawe+ katika moto, kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+ 4 Naye alitoa dhabihu kwa ukawaida+ na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu na juu+ ya vilima+ na chini ya kila namna ya mti wenye majani mengi.+

5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mkononi+ mwa mfalme wa Siria,+ nao wakampiga na kuchukua kutoka kwake hesabu kubwa ya mateka na kuwaleta Damasko.+ Naye pia akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli,+ naye akampiga kwa mauaji makubwa. 6 Basi Peka+ mwana wa Remalia+ akaua katika Yuda watu 120,000 katika siku moja, wote wakiwa ni wanaume mashujaa, kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao. 7 Tena, Zikri, mwanamume mwenye nguvu wa Efraimu,+ akamuua Maaseya mwana wa mfalme na Azrikamu kiongozi wa nyumba na Elkana yule aliyekuwa wa pili kwa mfalme. 8 Na tena wana wa Israeli wakawachukua mateka ndugu zao mia mbili elfu, wanawake, wana na mabinti; na pia wakapora nyara nyingi kutoka kwao, kisha wakaleta nyara hizo Samaria.+

9 Na palikuwa na nabii wa Yehova hapo ambaye jina lake lilikuwa Odedi. Basi akaenda mbele ya jeshi lililokuwa likija Samaria na kuwaambia: “Tazama! Yehova Mungu wa mababu zenu aliwatia hao mkononi mwenu kwa sababu ya ghadhabu+ yake juu ya Yuda, hivi kwamba mkafanya mauaji kati yao kwa ghadhabu+ ambayo imefika mpaka mbinguni.+ 10 Na sasa mnafikiria kuwafanya wana wa Yuda na wana wa Yerusalemu kuwa watumishi+ na wajakazi wenu. Hata hivyo, je, ninyi wenyewe hamna visa vya hatia juu ya Yehova Mungu wenu? 11 Na sasa nisikilizeni, na mwarudishe mateka ambao mmewateka kutoka kwa ndugu zenu,+ kwa maana hasira ya Yehova inayowaka iko juu yenu.”+

12 Ndipo watu fulani wa vichwa+ vya wana wa Efraimu,+ Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemothi na Yehizkia mwana wa Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kuwapinga wale waliokuwa wakiingia kutoka katika shughuli hiyo ya kijeshi, 13 nao wakawaambia: “Msiingize mateka humu, kwa sababu tutakuwa na hatia juu ya Yehova. Mnafikiria kuziongeza dhambi zetu na hatia yetu, kwa maana sisi tuna hatia kubwa,+ na kuna hasira inayowaka+ juu ya Israeli.” 14 Basi wale watu wenye silaha+ wakawaacha wale mateka+ na ile nyara mbele ya wakuu+ na kutaniko lote. 15 Kisha watu waliochaguliwa kwa majina+ yao wakasimama na kuwachukua wale mateka, na wote waliokuwa uchi wakawavika nguo kutokana na zile nyara. Basi wakawavika+ na kuwapa viatu, wakawalisha+ na kuwapa vinywaji+ na kuwapaka mafuta. Tena, kuhusu wowote wenye kutetemeka, wakawasafirisha+ juu ya punda na kuwaleta Yeriko,+ jiji la mitende,+ kando ya ndugu zao. Kisha wakarudi Samaria.+

16 Wakati huo Mfalme Ahazi+ akatuma ujumbe kwa wafalme wa Ashuru+ ili wamsaidie. 17 Na kwa mara nyingine tena Waedomu+ wakaingia na kuwapiga Yuda na kuchukua mateka. 18 Nao Wafilisti+ wakavamia majiji ya Shefela+ na Negebu+ katika Yuda na kuteka Beth-shemeshi+ na Aiyaloni+ na Gederothi+ na Soko+ na miji yake ya kandokando na Timna+ na miji yake ya kandokando na Gimzo na miji yake ya kandokando; nao wakaanza kukaa humo. 19 Kwa kuwa Yehova alinyenyekeza+ Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa sababu aliachilia mambo katika Yuda,+ nao wakatenda kwa ukosefu mkubwa sana wa uaminifu kumwelekea Yehova.

20 Mwishowe Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru akaja kupigana naye na kumtaabisha,+ naye hakumtia nguvu. 21 Kwa kuwa Ahazi alichukua mali yote katika nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na ya wakuu+ na kumpa zawadi mfalme wa Ashuru;+ lakini jambo hilo halikumsaidia kamwe. 22 Hata hivyo, wakati alipokuwa akimtaabisha, yeye, yaani, Mfalme Ahazi, alizidi kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova.+ 23 Naye akaanza kuitolea dhabihu miungu+ ya Damasko+ iliyokuwa ikimpiga, naye akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia wao,+ mimi nitaitolea dhabihu, ili inisaidie.”+ Nayo ikawa kisababishi cha kumfanya yeye na Israeli wote wajikwae.+ 24 Zaidi ya hayo, Ahazi akavikusanya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli na kuvikata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango+ ya nyumba ya Yehova, akajitengenezea madhabahu katika kila pembe katika Yerusalemu.+ 25 Na katika majiji yote, majiji ya Yuda, akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya kuifukizia miungu mingine moshi wa uvumba,+ hivi kwamba akamtia uchungu+ Yehova Mungu wa mababu zake.

26 Na yale mambo yake mengine+ na njia zake, ya kwanza na ya mwisho, tazama, yameandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Yuda na wa Israeli. 27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki