2 Wafalme 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Katika siku hizo Yehova alianza kuleta+ juu ya Yuda, Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia. Isaya 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa ikawa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, kwamba Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walikuja Yerusalemu ili kupiga vita juu yake, naye hakuweza kupiga vita juu yake.+
37 Katika siku hizo Yehova alianza kuleta+ juu ya Yuda, Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia.
7 Sasa ikawa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, kwamba Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walikuja Yerusalemu ili kupiga vita juu yake, naye hakuweza kupiga vita juu yake.+