2 Wafalme 16:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Remalia, Ahazi+ mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda akawa mfalme. 2 Mambo ya Nyakati 28:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu,+ naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama Daudi babu yake.+
16 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Remalia, Ahazi+ mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda akawa mfalme.
28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu,+ naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama Daudi babu yake.+