2 Wafalme 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 16; naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, Mungu wake, kama Daudi babu yake.+
2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 16; naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, Mungu wake, kama Daudi babu yake.+