6 Basi Peka+ mwana wa Remalia+ akaua katika Yuda watu 120,000 katika siku moja, wote wakiwa ni wanaume mashujaa, kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao.
7Sasa ikawa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, kwamba Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walikuja Yerusalemu ili kupiga vita juu yake, naye hakuweza kupiga vita juu yake.+