Isaya 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nawe umwambie, ‘Jiangalie na uendelee kukaa bila wasiwasi.+ Usiwe na hofu, wala usiache moyo wako uogope+ kwa sababu ya ncha mbili za mkia za hivi vipande vya mti vinavyotoa moshi, kwa sababu ya hasira kali ya Resini na Siria na mwana wa Remalia,+ Isaya 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na kichwa cha Efraimu ni Samaria,+ na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia.+ Ninyi msipokuwa na imani, basi hamtadumu muda mrefu.”’”+
4 Nawe umwambie, ‘Jiangalie na uendelee kukaa bila wasiwasi.+ Usiwe na hofu, wala usiache moyo wako uogope+ kwa sababu ya ncha mbili za mkia za hivi vipande vya mti vinavyotoa moshi, kwa sababu ya hasira kali ya Resini na Siria na mwana wa Remalia,+
9 Na kichwa cha Efraimu ni Samaria,+ na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia.+ Ninyi msipokuwa na imani, basi hamtadumu muda mrefu.”’”+