20 Nao wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda katika nyika+ ya Tekoa.+ Na walipokuwa wakienda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Nisikieni, enyi Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu!+ Iweni na imani+ katika Yehova Mungu wenu, ili mdumu muda mrefu. Iweni na imani katika manabii wake,+ hivyo mfanikiwe.”