1 Samweli 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+ Zaburi 58:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+ Mathayo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.
11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+
12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.