Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+

  • Luka 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Shangilieni siku hiyo na kuruka, kwa maana, tazama! thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana mambo hayo ndiyo mababu zao walikuwa wakiwafanyia manabii.+

  • Matendo 5:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+

  • Waroma 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na si hilo tu, bali na tufurahi tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki