41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+
17 Hata hivyo, hata ikiwa ninamiminwa kama toleo la kinywaji+ juu ya dhabihu+ na utumishi wa watu wote ambako imani imewaongoza ninyi,+ mimi nafurahi na kushangilia+ pamoja nanyi nyote.
13 Kinyume chake, endeleeni kushangilia+ kwa maana ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo+ wa utukufu wake.