Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 5:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+

  • Wafilipi 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hata hivyo, hata ikiwa ninamiminwa kama toleo la kinywaji+ juu ya dhabihu+ na utumishi wa watu wote ambako imani imewaongoza ninyi,+ mimi nafurahi na kushangilia+ pamoja nanyi nyote.

  • 1 Petro 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+

  • 1 Petro 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kinyume chake, endeleeni kushangilia+ kwa maana ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo+ wa utukufu wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki