Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.

  • Matendo 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia.

  • Waroma 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na si hilo tu, bali na tufurahi tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+

  • 2 Wakorintho 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na hali za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa mwenye nguvu.+

  • Wafilipi 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwa sababu ninyi mlipewa pendeleo kwa ajili ya Kristo, si muwe tu na imani+ katika yeye, bali pia mteseke+ kwa ajili yake.

  • Waebrania 10:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa maana mliwasikitikia wale waliokuwa gerezani na pia kwa shangwe mkavumilia kuporwa+ mali zenu, mkijua ninyi wenyewe mna miliki bora na yenye kudumu.+

  • 1 Petro 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kinyume chake, endeleeni kushangilia+ kwa maana ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo+ wa utukufu wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki