Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,

  • Wakolosai 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote.+ Endeleeni kufundishana+ na kuonyana kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho+ kwa neema, mkimwimbia Yehova+ mioyoni mwenu.

  • Yakobo 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, kuna yeyote kati yenu anayepatwa na uovu? Na aendeleze sala.+ Je, kuna yeyote mwenye roho changamfu? Na aimbe zaburi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki