19 “Na sasa jiandikieni wenyewe wimbo huu+ na kuwafundisha wana wa Israeli.+ Uwekeni katika vinywa vyao ili wimbo huu upate kuwa shahidi wangu juu ya wana wa Israeli.+
26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+