17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
10 Sikuzote kila mahali katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu alitendewa,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu.+