1 Wakorintho 15:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa+ lazima uvae kutoweza kufa. 2 Timotheo 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Neno hili ni la uaminifu:+ Hakika ikiwa tulikufa pamoja, tutaishi pamoja pia;+ Ufunuo 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+
53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa+ lazima uvae kutoweza kufa.
21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+