Kutoka 29:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza. 2 Timotheo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mimi tayari ninamiminwa kama toleo la kinywaji,+ na wakati unaofaa wa kufunguliwa+ kwangu umekaribia sana.
40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza.
6 Kwa maana mimi tayari ninamiminwa kama toleo la kinywaji,+ na wakati unaofaa wa kufunguliwa+ kwangu umekaribia sana.