-
Mambo ya Walawi 23:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 na kama toleo lake la nafaka, sehemu mbili za kumi za efa ya unga laini uliotiwa mafuta, kama toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, harufu ya kutuliza; na kama toleo lake la kinywaji, sehemu ya nne ya hini ya divai.
-