52 Rundo hili ni ushahidi, na hii nguzo ni kitu kinachotoa ushahidi,+ kwamba mimi sitapita rundo hili kuja juu yako na kwamba wewe hutapita rundo hili na nguzo hii kuja juu yangu kunidhuru.+
6 Baadaye, watu wote wenye mashamba wa Shekemu na nyumba yote ya Milo+ wakakusanyika pamoja wakaenda, wakamfanya Abimeleki atawale akiwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa,+ nguzo iliyokuwa katika Shekemu.+