14 “Mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umeimiliki na kukaa ndani yake,+ nawe uwe umesema, ‘Acha niweke mfalme juu yangu kama mataifa yote yanayonizunguka’;+
22 Baadaye watu wa Israeli wakamwambia Gideoni: “Tawala juu yetu,+ wewe na mwana wako na mjukuu wako vilevile, kwa maana umetuokoa kutoka katika mkono wa Midiani.”+
7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao.