Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umeimiliki na kukaa ndani yake,+ nawe uwe umesema, ‘Acha niweke mfalme juu yangu kama mataifa yote yanayonizunguka’;+

  • Waamuzi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Hapo zamani za kale, miti ilienda kumtia mafuta mfalme juu yao. Basi ikauambia mzeituni,+ ‘Uwe mfalme juu yetu.’+

  • 1 Samweli 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini jambo hilo lilikuwa baya machoni pa Samweli kwa vile walikuwa wamesema: “Tupe mfalme atuhukumu,” na Samweli akaanza kusali kwa Yehova.+

  • 1 Samweli 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mlipoona kwamba Nahashi+ mfalme wa wana wa Amoni amekuja kupigana nanyi, mkaniambia tena na tena, ‘Hapana, bali ni mfalme ndiye atakayetawala juu yetu!’+ ingawa wakati huo wote Yehova Mungu wenu alikuwa mfalme wenu.+

  • Hosea 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Basi, yuko wapi mfalme wako, apate kukuokoa katika majiji yako yote,+ na waamuzi wako, ambao ulisema hivi kuwahusu, ‘Nipe mfalme na wakuu’?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki