Kumbukumbu la Torati 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+ Waamuzi 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Gideoni akawaambia: “Mimi mwenyewe sitatawala juu yenu, wala mwanangu hatatawala juu yenu.+ Yehova ndiye atakayetawala juu yenu.”+ 1 Samweli 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao. Zaburi 74:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,+Yeye anayefanya wokovu mkuu katikati ya dunia.+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+
5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+
23 Lakini Gideoni akawaambia: “Mimi mwenyewe sitatawala juu yenu, wala mwanangu hatatawala juu yenu.+ Yehova ndiye atakayetawala juu yenu.”+
7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao.
12 Hata hivyo Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,+Yeye anayefanya wokovu mkuu katikati ya dunia.+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+