Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova atatawala akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • 1 Samweli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini ninyi—leo mmemkataa Mungu+ wenu ambaye alikuwa mwokozi wenu kutoka katika maovu yenu yote na taabu zenu, nanyi mkasema: “Hapana, bali uweke mfalme juu yetu.” Basi sasa simameni mbele za Yehova kulingana na makabila+ yenu na kulingana na maelfu yenu.’”

  • Zaburi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

      Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+

  • Zaburi 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova ameketi juu ya gharika;+

      Na Yehova huketi akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 146:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+

      Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+

      Msifuni Yah!+

  • Isaya 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+

  • Isaya 43:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mimi ni Yehova Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+

  • Danieli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu!+ Ufalme wake ni ufalme wa mpaka wakati usio na kipimo,+ na utawala wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki