7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao.
12 Mlipoona kwamba Nahashi+ mfalme wa wana wa Amoni amekuja kupigana nanyi, mkaniambia tena na tena, ‘Hapana, bali ni mfalme ndiye atakayetawala juu yetu!’+ ingawa wakati huo wote Yehova Mungu wenu alikuwa mfalme wenu.+