Mwanzo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Tazama, mimi ninaleta gharika+ ya maji duniani ili kuharibu kutoka chini ya mbingu wote wenye mwili walio na nguvu za uhai ndani yao.+ Kila kitu kilicho duniani kitakata pumzi.+ Ayubu 38:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafurikoNa njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+
17 “Tazama, mimi ninaleta gharika+ ya maji duniani ili kuharibu kutoka chini ya mbingu wote wenye mwili walio na nguvu za uhai ndani yao.+ Kila kitu kilicho duniani kitakata pumzi.+
25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafurikoNa njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+