Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

      Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+

  • Zaburi 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova ameketi juu ya gharika;+

      Na Yehova huketi akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 66:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+

      Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+

      Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela.

  • Zaburi 90:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+

      Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+

      Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+

  • Yeremia 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki