Zaburi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+ Zaburi 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova ameketi juu ya gharika;+Na Yehova huketi akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 66:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela. Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+
7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela.
2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+