Kumbukumbu la Torati 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ili moyo wake usijiinue juu ya ndugu zake+ naye asigeuke kando kutoka kwenye amri kwenda upande wa kuume au upande wa kushoto,+ ili arefushe siku zake juu ya ufalme wake,+ yeye na wanawe katikati ya Israeli. Zaburi 75:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Niliwaambia wapumbavu: “Msiwe wapumbavu,”+Na waovu: “Msiinue pembe.+ Isaya 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+
20 ili moyo wake usijiinue juu ya ndugu zake+ naye asigeuke kando kutoka kwenye amri kwenda upande wa kuume au upande wa kushoto,+ ili arefushe siku zake juu ya ufalme wake,+ yeye na wanawe katikati ya Israeli.
29 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+