Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nanyi mtakuwa waangalifu kufanya kama vile ambavyo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi.+ Msigeuke kuume wala kushoto.+

  • 1 Samweli 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu.+ Hukuishika amri+ ya Yehova Mungu wako ambayo alikuamuru,+ kwa sababu, kama ungeishika, Yehova angeufanya ufalme wako juu ya Israeli kuwa imara mpaka wakati usio na kipimo.

  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki