Methali 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+ Mhubiri 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Usiwe mwovu kupita kiasi,+ wala kuwa mpumbavu.+ Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?+ Yeremia 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata kama mimi mwenyewe nikisema: “Hakika wao ni wa tabaka ya chini. Walitenda kwa upumbavu, kwa maana wameipuuza njia ya Yehova, hukumu ya Mungu wao.+
4 Hata kama mimi mwenyewe nikisema: “Hakika wao ni wa tabaka ya chini. Walitenda kwa upumbavu, kwa maana wameipuuza njia ya Yehova, hukumu ya Mungu wao.+