11 Vitawi vyake vitakapokuwa vimekauka, wanawake wanaoingia watavivunja, na kuviwasha.+ Kwa maana wao ni kundi la watu lisilo na hamu ya uelewaji.+ Ndiyo sababu Mtengenezaji wake hatalionyesha rehema, na Mfanyizaji wake hatalionyesha kibali.+
6 Hakika watu wangu watanyamazishwa, kwa sababu hakuna ujuzi.+ Kwa kuwa wewe mwenyewe umeukataa ujuzi,+ mimi pia nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu;+ na kwa sababu unaendelea kuisahau sheria ya Mungu wako,+ hata mimi nitawasahau wana wako.+