Hosea 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Watu wangu watanyamazishwa,* kwa sababu hawana ujuzi. Kwa sababu mmekataa ujuzi,+Nitawakataa pia msinitumikie mkiwa makuhani wangu;Na kwa sababu mmesahau sheria* ya Mungu wenu,+Mimi mwenyewe nitawasahau wana wenu.
6 Watu wangu watanyamazishwa,* kwa sababu hawana ujuzi. Kwa sababu mmekataa ujuzi,+Nitawakataa pia msinitumikie mkiwa makuhani wangu;Na kwa sababu mmesahau sheria* ya Mungu wenu,+Mimi mwenyewe nitawasahau wana wenu.