-
2 Wafalme 17:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Waliendelea kukataa masharti yake na agano lake+ alilofanya na mababu zao na vikumbusho vyake alivyowapa ili kuwaonya,+ nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili,+ na wao wenyewe wakawa ubatili,+ wakiiga mataifa yaliyowazunguka pande zote ambayo Yehova alikuwa amewaamuru wasiyaige.+
16 Waliendelea kuacha amri zote za Yehova Mungu wao, nao wakatengeneza sanamu za chuma* za ndama wawili+ na kutengeneza mti mtakatifu,*+ nao wakaliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kumwabudu Baali.+
-