Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Ezekieli 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+

  • 2 Wathesalonike 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki