23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+
21 “ ‘ “Lakini kwa wale ambao moyo wao unatembea katika machukizo yao na vinyaa vyao,+ hakika nitaleta njia yao wenyewe juu ya vichwa vyao,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”+