Ezekieli 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+ Ezekieli 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo nitamwaga shutuma+ zangu juu yao. Nitawaangamiza wao kwa moto wa ghadhabu yangu.+ Nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+
31 Kwa hiyo nitamwaga shutuma+ zangu juu yao. Nitawaangamiza wao kwa moto wa ghadhabu yangu.+ Nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”