4 Na jicho langu halitakusikitikia, wala sitakuwa na huruma,+ kwa maana juu yako nitazileta njia zako mwenyewe, na katikati yako machukizo yako mwenyewe yatakuja kuwamo;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
18 Na mimi mwenyewe pia nitachukua hatua katika ghadhabu.+ Jicho langu halitasikitika, wala sitakuwa na huruma.+ Nao hakika wataita masikioni mwangu kwa sauti kubwa, lakini sitawasikia.”+