11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+
12 Wakati wanapofunga, mimi sisikilizi kilio chao cha kusihi;+ na wanapotoa toleo zima la kuteketezwa na toleo la nafaka, mimi siyafurahii;+ kwa maana nitawamaliza kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni.”+
4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+