Zaburi 18:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wanalia wapate msaada, lakini hakuna mwokozi,+Kwa Yehova, lakini yeye hawajibu.+ Luka 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 wakati mwenye nyumba anapomaliza kusimama na kuufunga mlango, nanyi mnaanza kusimama nje na kupiga hodi mlangoni, mkisema, ‘Bwana, tufungulie.’+ Lakini atawajibu na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi.’+ Yakobo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+
25 wakati mwenye nyumba anapomaliza kusimama na kuufunga mlango, nanyi mnaanza kusimama nje na kupiga hodi mlangoni, mkisema, ‘Bwana, tufungulie.’+ Lakini atawajibu na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi.’+
3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+