Zaburi 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa sababu hiyo kila aliye mshikamanifu atasali kwako+Katika wakati ule tu ambao wewe unaweza kupatikana.+Nayo mafuriko ya maji mengi hayatamgusa.+ Isaya 55:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtafuteni Yehova, wakati anapoweza kupatikana.+ Mwiteni akiwa bado yupo karibu.+
6 Kwa sababu hiyo kila aliye mshikamanifu atasali kwako+Katika wakati ule tu ambao wewe unaweza kupatikana.+Nayo mafuriko ya maji mengi hayatamgusa.+