Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Huko wao huendelea kupaaza kilio, lakini yeye hajibu,+

      Kwa sababu ya kiburi+ cha wabaya.

  • Methali 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wakati huo wataendelea kuniita, lakini sitaitika;+ wataendelea kunitafuta, lakini hawatanipata,+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Yeremia 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+

  • Yeremia 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati wanapofunga, mimi sisikilizi kilio chao cha kusihi;+ na wanapotoa toleo zima la kuteketezwa na toleo la nafaka, mimi siyafurahii;+ kwa maana nitawamaliza kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni.”+

  • Mika 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+

  • Zekaria 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Basi ikawa kwamba, kama vile alivyoita wala hawakusikiliza,+ vivyo hivyo wao waliita na mimi sikusikiliza,’+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki