Mathayo 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye wale mabikira wengine pia wakaja, wakisema, ‘Bwana, bwana, tufungulie!’+ Luka 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Kwa nini, basi, mnaniita ‘Bwana! Bwana!’ lakini hamfanyi mambo ninayosema?+