Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+

  • Mathayo 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baadaye wale mabikira wengine pia wakaja, wakisema, ‘Bwana, bwana, tufungulie!’+

  • Luka 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Jitahidini+ sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu wengi, ninawaambia ninyi, watajaribu kuingia lakini hawataweza,+

  • Waroma 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana wasikiaji wa sheria sio walio waadilifu mbele za Mungu, bali watendaji+ wa sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+

  • Yakobo 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki