Mathayo 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia; Wafilipi 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Si kwamba tayari nimelipokea au tayari nimefanywa kuwa mkamilifu,+ bali ninafuatilia+ ili kuona kama pia ninaweza kulishika+ lile ambalo kwa ajili yake pia mimi nimeshikwa+ na Kristo Yesu.
13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia;
12 Si kwamba tayari nimelipokea au tayari nimefanywa kuwa mkamilifu,+ bali ninafuatilia+ ili kuona kama pia ninaweza kulishika+ lile ambalo kwa ajili yake pia mimi nimeshikwa+ na Kristo Yesu.