25 wakati mwenye nyumba anapomaliza kusimama na kuufunga mlango, nanyi mnaanza kusimama nje na kupiga hodi mlangoni, mkisema, ‘Bwana, tufungulie.’+ Lakini atawajibu na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi.’+
17 Kwa maana mnajua kwamba baadaye pia alipotaka kuirithi baraka+ alikataliwa,+ kwa maana, ijapokuwa alitafuta kwa bidii badiliko la akili kwa machozi,+ hakupata nafasi kwa ajili ya jambo hilo.+