-
Waebrania 12:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Kwa maana mwajua kwamba baadaye pia alipotaka kurithi baraka alikataliwa, kwa maana, ijapokuwa alitafuta kwa bidii badiliko la nia kwa machozi, hakupata mahali kwa ajili ya hilo.
-