Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na, kwanza kabisa, nitalipa kiwango kamili cha kosa+ lao na cha dhambi yao, kwa sababu waliitia nchi yangu unajisi.+ Walikuwa wameujaza urithi wangu mizoga ya machukizo yao na vinyaa vyao.’”+

  • Ezekieli 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘ “Lakini kwa wale ambao moyo wao unatembea katika machukizo yao na vinyaa vyao,+ hakika nitaleta njia yao wenyewe juu ya vichwa vyao,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”+

  • Ezekieli 16:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 “ ‘Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako+ nawe ulikuwa ukinisumbua kwa sababu ya mambo yote haya,+ hata hapa mimi pia, nitaiweka njia yako mwenyewe juu ya kichwa chako mwenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nawe hakika hutaendeleza mwenendo mpotovu wowote pamoja na machukizo yako yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki