2 “Semeni na moyo wa Yerusalemu+ na kumwambia kwamba utumishi wake wa kijeshi umetimizwa,+ kwamba kosa lake limelipwa.+ Kwa maana kutoka mkononi mwa Yehova amepokea hesabu kamili kwa ajili ya dhambi zake zote.”+
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+