21 “ ‘ “Lakini kwa wale ambao moyo wao unatembea katika machukizo yao na vinyaa vyao,+ hakika nitaleta njia yao wenyewe juu ya vichwa vyao,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”+
31 Kwa hiyo nitamwaga shutuma+ zangu juu yao. Nitawaangamiza wao kwa moto wa ghadhabu yangu.+ Nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”