-
Ezekieli 11:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 “‘“Lakini kwa wale ambao mioyo yao imeazimia kuendelea kufanya mambo yao yanayochukiza na mazoea yao yanayochukiza, nitawaletea madhara ya njia yao juu ya kichwa chao,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’”
-